tag:blogger.com,1999:blog-53582004222987396102024-03-13T05:18:02.718+03:00Kijiwe ChetuMatukio, Habari na PichaDotto Athumanhttp://www.blogger.com/profile/06214303366392650866noreply@blogger.comBlogger22125tag:blogger.com,1999:blog-5358200422298739610.post-60296266789168120982012-02-11T11:45:00.000+03:002012-02-11T11:45:32.613+03:00Dawa za ARVs zathibitika kuzuia maambukizi ya Virus Vya Ukimwi!!<div style="text-align: justify;">Hii ni habari njema kwa watu wanaoishi na VVU na jamii kwa ujumla:</div><div style="text-align: justify;"><br />
</div><div style="text-align: justify;">Matokeo ya tafiti mbalimbali zilizofanyika Afrika na sehemu zingine duniani zimethibitisha kuwa kuna uwezekano wa zaidi ya asilimia 96 kwa mtu anaeishi na Virus vya Ukimwi kutowaambukiza wapenzi wao endapo watatutumia Dawa za kupunguza makali ya VVU kwa usahihi. Tafiti hizo ambazo baadhi zililazimika kusitishwa kabla ya muda wake uliopangwa baada ya matokeo ya awali kuonyesha mafanikio makubwa.<br />
<br />
</div><div style="text-align: justify;"></div><div style="text-align: justify;">Kwa mujibu wa kampuni ya Kimarekani ya Utengenezaji wa Dawa za Kupunguza makali ya VVU - (tenofovir na emtricitabine), Gilead Science, imekili kusitisha tafiti zake kabla muda uliotegemewa kumalizika baada ya matokeo ya awali kuonyesha mafanikio makubwa katika nchi za Kenya na Uganda.<br />
<br />
Kampuni hiyo iliendesha tafiti hizo kwa kuangalia matumizi ya sasa ya ARV ikiwemo huduma ya Post Exposure Prophylaxis (PEP) ambayo hutumiwa kuzuia maambukizi ya VVU kwa wahudumu wa afya wakati wa utoaji wa kuwahudumia wagonjwa, ambpo mhusika hupewa dozi hiyo ndani ya saa 72 baada ya kupata VVU, na ile ya Mama mjamzito dhidi ya mtoto wake wakati wa kujifungua (PMTCT).<br />
<br />
Jumla ya wapenzi 4758 walihusishwa katika utafiti wa PrEP (Matumizi ya ARVs kwa watu wasio na VVU - Kinga). Katika utafiti huu, wapenzi wawili (mmoja mwenye VVU na mwingine asiye na VVU) walihusishwa kwa kutumia dawa aina ya tenofovir na emtricitabine (TDF/FTC). Utafiti huu ulionyesha kuwa matumizi ya dawa hizi kwa kila siku unaweza kupunguza uwezekano wa kuambukizana kwa aslimia 95. Hakukuwa na dalili ya athari zozote kwa dawa zote wakati wa matumizi hayo. Pia utafiti kama huo ulifanywa chini ya Mtandao wa Utafiti dhidi ya VVU (HPTN), ambao uliwahusisha wapenzi (discordant couples 1750) kwa kipindi cha miezi 78 katika nchi za Afrika, Asia na Marekani. Utafiti huo nao ulikoma baada ya mwaka mmoja kutokana na matokeo kuonyesha mafanikio makubwa</div><div style="text-align: justify;"><br />
</div><div style="text-align: justify;"><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"></div>Tafiti hizi pia zimeibua hoja mpya ya muda unaofaa kwa watu wenye VVU kuanzishia "dozi ya ARVs" baada ya nchi mbalimbali kutofautiana eneo hilo. Hadi sasa nchi nyingi zinazoendelea ikiwemo Tanzania, zimekuwa zikitumia Muongozo wa WHO ambao unapendekeza watu wanaoishi na VVU waanzishiwe Dozi hizo wanapofikisha CD4 kuanzia 350 kuja chini. Hata hivyo nchi za Marekani na Ulaya zimekataa kutumia muongozo huo na badala yake huwaanzishia watu wao mara wanapogundulika kuambukizwa au wanapofikisha CD4 kuanzia 500 na kuendelea. Hii inasemekana kuwa inaweza kutoa majibu ya kuwepo kwa tofauti kubwa ya watu wanaoishi na VVU, Maambukizi mapya na hata vifo vingi katika nchi maskini hasa Kusini ya Jangwa la Sahara, Barani Afrika na zile zilizoendelea za Ulaya na Marekani.<br />
<br />
PAMOJA NA YOTE, HADI SASA HAKUNA UTAFITI ULIOFANYWA JUU YA FAIDA NA HASARA YA KUWAANZISHA DAWA HIZO MAPEMA.<br />
<b><br />
</b><br />
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhiGcb4pTrgL_3cQQAhLgEtlrhZJnAV4YhuilZf2PfvIeTAY3gb0pqijt3u04CrKqiVENNfqNwRugVBp7QTdOY8XwcBADH1XEBZYICNGwETCYBKtmG0y5jVAL-_zK_0DXdh2ZgAHPm5Uo8/s1600/0008.gif" imageanchor="1" style="clear: left; float: left; margin-bottom: 1em; margin-right: 1em;"><img border="4" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhiGcb4pTrgL_3cQQAhLgEtlrhZJnAV4YhuilZf2PfvIeTAY3gb0pqijt3u04CrKqiVENNfqNwRugVBp7QTdOY8XwcBADH1XEBZYICNGwETCYBKtmG0y5jVAL-_zK_0DXdh2ZgAHPm5Uo8/s1600/0008.gif" /></a><br />
<b>Imeandaliwa na;</b><br />
<b>Dotto Athumani</b><br />
<b>Producer/Report</b><br />
<b>Graduate School of Journalism</b><br />
<b>UC Berkeley.</b><br />
<b>California.</b><br />
<b><br />
</b><br />
<b>contact: mnyadi@berkeley.edu, +1 (510) 666 7345</b></div>Dotto Athumanihttp://www.blogger.com/profile/00599014253017031935noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-5358200422298739610.post-49962126273821268392012-02-03T09:02:00.001+03:002012-02-03T09:06:27.350+03:00TABASAMU penye dhiki...kulikoni picha ya kiofisi kuumbwa na TABASAMU...?!<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiv6z0JhUQ6oeAGmcgvjiZjMEEdzzvS78t0YvlX6O5Ak40BdObXU2nkwJenHR4e68Jb8f0FvCgmdrzQFrG-iAA63XQyQ7sn67E-x4msfVDUDyNOjl_JDCnrWe4Pke28FO4OEeXzhtOBiGw/s1600/kikwete.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="400" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiv6z0JhUQ6oeAGmcgvjiZjMEEdzzvS78t0YvlX6O5Ak40BdObXU2nkwJenHR4e68Jb8f0FvCgmdrzQFrG-iAA63XQyQ7sn67E-x4msfVDUDyNOjl_JDCnrWe4Pke28FO4OEeXzhtOBiGw/s400/kikwete.jpg" width="300" /></a></div><div style="text-align: justify;">Picha moja huwakilisha maneno zaidi ya elfu moja. Huweza kueleza hisia ya mtu na hata tabia kwa ujumla. Zipo aina mbalimbali za picha, na hupigwa kwa malengo tofauti. Mojawapo ni picha inayopigwa kwa lengo la matumizi ya kiofisi, mfano kitambulisho, Pasi ya Kusafiri na zinazofanana na hizo. Kwa leo nitaizungumzia "Portrait" ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Kikwete.</div><br />
<div style="text-align: justify;">Kawaida, Rais aliye madarakani anapaswa kuwa na picha katika ofisi mbalimbali za umma na hata zile binafsi ikiwa ishara ya kumtambua kama kiongozi halali wa Nchi. Picha hii ni moja ya picha zinazotumika katika mchakato huo na ni rahisi kuikuta katika ofisi mbalimbali za Serikali na Binafsi. Tatizo langu na picha hii ni "TABASAMU" la Mhe. Rais. Nilitegemea picha hii ingeundwa na Sura isiyoonyesha hisia yoyote (Neutral expression) kwa kuwa zipo sehemu haiwezi kulandana na tafsiri yake. Kwa mfano, Hospitalini, polisi na sehemu zingine zisizohitaji kumuona Rais akitabasamu.</div>Dotto Athumanihttp://www.blogger.com/profile/00599014253017031935noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-5358200422298739610.post-86754594131228544022012-01-28T04:07:00.000+03:002012-01-28T04:07:11.162+03:00Hang Up strategy!!<div style="text-align: justify;">Your telephone is for your personal use and you are not obligated to talk to anyone. Hang up if the caller does not speak or if you feel uncomfortable. Ask for the caller's identity or affiliation. If the caller gives an improper response, hang up. If the caller asks. "Who is this?" or "what number have I reached?" don't answer. Instead ask, "Who are you trying to reach?" or "What number did you call?" If the call is not legitimate, they will probably end it. If the caller persists after you have made it clear that don't' want to talk to them, the simplest response is to hang up.</div><div style="text-align: justify;"><strong style="background-color: white; color: #333333; font-family: 'Helvetica Neue', Helvetica, Arial, Verdana, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17px; text-align: -webkit-left;"><br />
</strong></div><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"></div><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjFSiK-zBvPNjXOxgy9_GV6khSEv1RsLyfdwz2y2_9czUfZqwSP2uEGOVmc6-i4gCGu7h243wcBTzNxXpCpQ7hrHY_F68CRUQfdN3xvENIXQcFhyphenhyphenzADkvTwpTW9UuQAD3l06dLNdkhe7Cc/s1600/black-man-yelling-into-phone.jpg" imageanchor="1" style="clear: left; float: left; margin-bottom: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="192" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjFSiK-zBvPNjXOxgy9_GV6khSEv1RsLyfdwz2y2_9czUfZqwSP2uEGOVmc6-i4gCGu7h243wcBTzNxXpCpQ7hrHY_F68CRUQfdN3xvENIXQcFhyphenhyphenzADkvTwpTW9UuQAD3l06dLNdkhe7Cc/s320/black-man-yelling-into-phone.jpg" width="320" /></a></div><strong style="background-color: white; color: #333333; font-family: 'Helvetica Neue', Helvetica, Arial, Verdana, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17px; text-align: -webkit-left;"><br />
</strong><br />
<strong style="background-color: white; color: #333333; font-family: 'Helvetica Neue', Helvetica, Arial, Verdana, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17px; text-align: -webkit-left;">REMEMBER</strong><i> Don't speak if you don't want to. Don't give out any information, and don't respond to questions if you don't know the caller</i>Dotto Athumanihttp://www.blogger.com/profile/00599014253017031935noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-5358200422298739610.post-88100872522238196142012-01-23T02:20:00.000+03:002012-01-23T02:20:23.503+03:00Kwanini watu wengi hupenda kwenda kusoma nchi za Magharibi?<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhVUq393vsYrpmIez4Gql7Tcde9Hwb-3W0kWcNmOmnY9g-cPUdI-vuq_aIUdyZsteS_-NdovPG02duG-M4qIY58N_kvf5C3mVKqMn0vBjFmzw0JIxTQVGhtPwWniHR7IKXUsyTOA8ousmJJ/s1600/Elimu+ni+ufunguo+wa+Maisha.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="302" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhVUq393vsYrpmIez4Gql7Tcde9Hwb-3W0kWcNmOmnY9g-cPUdI-vuq_aIUdyZsteS_-NdovPG02duG-M4qIY58N_kvf5C3mVKqMn0vBjFmzw0JIxTQVGhtPwWniHR7IKXUsyTOA8ousmJJ/s400/Elimu+ni+ufunguo+wa+Maisha.jpg" width="400" /></a></div><div class="separator" style="clear: both; text-align: justify;"><br />
</div><div style="text-align: justify;">Elimu ni ufunguo wa maisha, kauli hii iliwahi kuwa maarufu miaka ya 70 hadi 90 (sina uhakika kama bado inaaminiwa tena) na iliwahi kutumika kama chachu ya kuhamasisha vuguvugu la elimu barani Africa. Kadri siku zinavyozidi kusonga mbele ndivyo gharama za elimu zimeendelea kuongezeka mara dufu. Pamoja na ongezeko hilo bado watu wengi wamekuwa wakikimbilia vyuo vya nje ikiwemo ulaya na Marekani ingawa takwimu zinaonyesha kuwa gharama ni kubwa kwa zaidi ya mara kumi ya zile wanakotoka. Kwa mfano, gharama za kusoma mwaka mmoja ngazi ya shahada nchini Marekani inafika Pesa za kitanzania milioni 30, huku shahada hiyo hiyo hugharimu kiasi cha milioni 2 hadi 5 za kitanzania.</div><div style="text-align: justify;"><br />
</div><div style="text-align: justify;">Uchunguzi unaonyesha kuwa kuna tofauti kubwa ya ubora wa elimu inayotolewa kati ya nchi zilizoendelea na zile za dunia ya tatu. Kwa mfano ni rahisi sana kwa mwanafunzi wa uandishi wa Tanzania kumaliza shahada yake bila kujua chumba cha habari au kushika kifaa husika, wakati mwanafunzi wa fani hiyo hiyo katika nchi zilizoendelea akamaliza akiwa ameshaajiriwa katika chombo cha habari au kuanzisha cha kwake. Hii imetajwa kuwa sababu kubwa inayochelewesha maendeleo barani Afrika kutokana na ukweli kuwa wataalam wengi wanakosa ubunifu na uwezo baada ya kujifunza nadharia katika miaka yao yote ya mafunzo. </div>Dotto Athumanhttp://www.blogger.com/profile/06214303366392650866noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-5358200422298739610.post-70310614634273893572012-01-23T01:54:00.000+03:002012-01-23T01:54:12.682+03:00Tuwajengea tabia ya kupenda kujisomea vitabu watoto wetu wangali wadogo!!,<img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiJC3wNs7F5Ze64-WMxiKKU6u1uolOLWCFEpwl1FHjcYL_XlZil-g3CfVtf7fbrkJu2P2MC_1VBslL6ZkLA7JDUIqMTykwwyPVhYlkE9RGk08ScqBABT2ZpezaWMTnls22iAQkKbatPgRQ/s400/library1.jpg" /><br />
<div style="text-align: justify;">Waswahili husema, "Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo". Wazazi ni sehemu muhimu ya maisha ya mtoto. Namna anavyokua na uwezo alionao huchangiwa kwa kiasi kikubwa jinsi alivyolelewa na familia yake. Kwa kawaida maisha ya mtoto huambatana na vitu vingi muhimu...mtoto anatabia moja kubwa - HUPENDA KUJIFUNZA KILA ANACHOKIONA MBELE YAKE. Anza kumfunza mtoto wako awe MPENZI wa kujisomea na kutafuta maarifa mapya.</div>Dotto Athumanihttp://www.blogger.com/profile/00599014253017031935noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-5358200422298739610.post-63817654529869303742012-01-22T11:05:00.000+03:002012-01-22T11:05:00.901+03:00ARVs tumaini jipya linalokwazwa na ubishi wa kisiasa!!<div style="text-align: justify;">MASWALI ya kisayansi yameibuka kuhoji utaratibu unaotumiwa na wahudumu wa afya katika kuwaanzisha Dozi za ARV watu wanaoishi na VVU sehemu mbalimbali duniani. Kwa mujibu wa shirika la Afya la Umoja wa Maitafa, watu wanaoishi na Virus vya Ukimwi wanashauriwa kuanza kutumia Dawa za kurefusha Maisha wanapofikisha CD4 chini ya 350 hadi 250. Hoja hii imekuja baada ya kugundulika kuwa Dawa hizo pamoja na kupunguza nguvu za virus vya HIV pia zinaweza kusaidia kupunguza maambukizi kwa asilimia 96 baina ya wahusika.</div><div style="text-align: justify;"><br />
</div><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgC7kOsUdM37iQGEfGhI606THz8MoWLBUlo7bzxYAeH0b11TbgCs24qWw5r-AHUei5B0mRivczGvfA0bRMpmrtC-kSSYUOyKyrJIkgDRuTY_6wx-26Y_EhAqgn5rPnRsfn1_gyuvTDfM45V/s1600/ARVS.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="192" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgC7kOsUdM37iQGEfGhI606THz8MoWLBUlo7bzxYAeH0b11TbgCs24qWw5r-AHUei5B0mRivczGvfA0bRMpmrtC-kSSYUOyKyrJIkgDRuTY_6wx-26Y_EhAqgn5rPnRsfn1_gyuvTDfM45V/s320/ARVS.jpg" width="320" /></a></div><div style="text-align: justify;">Kawaida mwili wa binadamu mwenye afya huwa na CD4 kati ya 500 hadi 1500. Virus vya Ukimwi vinapoingia mwilini hushambulia CD4 na T-cells ambazo ni muhimu katika utendaji kazi wa mfumo wa ulinzi ndani ya mwili. Matokeo ya uvamizi huu ni kushindwa kwa mwili kujitengenezea kinga na hivyo kuvamiwa kirahisi na magonjwa mengine. Matokeo mbalimbali ya kitafiti yameanza kuonyesha kuwa dawa za kurefusha maisha si tu zinasaidia kuongeza CD4 lakini pia zinaweza kutumika kama kinga baina ya mtu mwenye VVU na asiye na VVU endapo atatumia dozi ipasavyo.</div><div style="text-align: justify;"><br />
</div><div style="text-align: justify;">Muongozo wa Shirika la Afya la Umoja wa Mataifa (WHO) umependekeza muda muafaka wa kuwaanzishia dozi za ARV watu wanaoishi na VVU ni pale wanapofikisha CD4 katika ya 350 na 250, hata hivyo hakuna utafiti wowote uliofanywa kuthibitisha madhara au faida ya kuanzishia dozi hiyo mapema jambo linaloibua shaka na utaratibu huo. Zipo hoja kadhaa zinazopelekea kuibuka kwa mtazamo mpya wa suala hili;</div><div style="text-align: justify;"> 1. Matokeo ya utafiti mpya unaothibitisha kuwa Dawa za ARV zinaweza kutumika kuzuia maambukizi ya VVU. Wahusika katika hoja hii wanatumia udhoefu wa muda mrefu wa ARV unaotokana na matumizi yake katika kuzuia maambukizi baina ya Mama na Mtoto (PMTCT) na hata miongoni mwa Wahudumu wa Afya pale wanapopata maambukizi wakati wanapotoa huduma kwa wagonjwa au waathirika wa VVU/Ukimwi (PEP). Hii inatosha kuthibitisha ukweli wa matokeo ya awali ya uwezekano wa ARV kutumika kuzuia maambukizi kwa makundi mengine ya jamii. </div><div style="text-align: justify;"><br />
</div><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEixCr7HxsVy63VLpPSF1CXkMKmz_E6q2oUBluXgJab1e5-LyHA2YznVotNZUrB2MOUGeWHiXqu2NYOdYwx-9qh-VzPMXMQwmo6wFZlRFgHYFlKgslA2A8GRyloUfPH1sGNvtFPKX2pLz2gr/s1600/arv.jpg" imageanchor="1" style="clear: left; float: left; margin-bottom: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="133" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEixCr7HxsVy63VLpPSF1CXkMKmz_E6q2oUBluXgJab1e5-LyHA2YznVotNZUrB2MOUGeWHiXqu2NYOdYwx-9qh-VzPMXMQwmo6wFZlRFgHYFlKgslA2A8GRyloUfPH1sGNvtFPKX2pLz2gr/s200/arv.jpg" width="200" /></a></div><div style="text-align: justify;"> 2. Hoja nyingine ni ile inayohusisha na vifo vinavyotokana na ugonjwa wa ukimwi katika nchi zinazotumia utaratibu au muungozo wa Shirika la Afya, WHO. Kwa mfano mwaka 2009, Tanzania ilipoteza watu 86,000 kwa ugonjwa wa ukimwi na mwaka huo huo kulitokea maambukizi mapya 100,000. Hii pia inathibitisha kushindwa kwa nia ya awali ya kupunguza vifo kwa walioathirika na Ugonjwa huo na hivyo uhitaji wa kutafuta njia mbadala.</div><div style="text-align: justify;"><br />
</div><div style="text-align: justify;"> 3. Hoja ya tatu ni ile ya muda muafaka wa kuanza dozi. Mara nyingi watu wenye CD4 350 na 250 huwa katika hatua ya mwisho ya kuugua Ukimwi na huchukua muda mrefu kurejea katika afya yao ya kawaida baada ya kuanza dozi. Kutokana na changamoto zingine za kijamii na kiuchumi, wengi hushindwa kuendana na masharti ya dawa na wakati mwingine huwa katika hatari ya kupata magonjwa nyemelezi ikiwemo Kifua Kikuu, Kansa, matatizo ya Ini na kadhalika, ambapo humfikisha mgonjwa katika hali mbaya na hatimaye kifo.</div><div style="text-align: justify;"><br />
</div><div style="text-align: justify;"> 4. Mwisho, ni suala la nchi zilizoendelea kama Marekani na Ulaya kukataa kufuata muongozo wa Shirika la Afya. Kwa mfano Marekani humuanzishia mgonjwa dozi mara anapogundulika na VVU au anapofikisha CD4 500. Hizi ni taarifa mbaya kwa shirika la afya duniani, SWALI gumu ambalo nimekosa jibu ni Sababu zipi zimewafanya waje na utaratibu huu ambao haukufanyiwa utafiti kikamilifu. HAKUNA MAJIBU YA KISAYANSI.</div><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEglD5jis8Xg0rgSSczYHpZVBQCl6k3m0SYq6v5aDXr_IBGSrWiCYUigUt59c7Q3ni7J21CV8rBGQxV9R1BIUXDYu3wvUFWHy57D7avRCwcPSpVdTiCsg0Gj2dA_gFV-H6m3rlTPOKc9oSHz/s1600/ImageGen.jpeg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="243" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEglD5jis8Xg0rgSSczYHpZVBQCl6k3m0SYq6v5aDXr_IBGSrWiCYUigUt59c7Q3ni7J21CV8rBGQxV9R1BIUXDYu3wvUFWHy57D7avRCwcPSpVdTiCsg0Gj2dA_gFV-H6m3rlTPOKc9oSHz/s400/ImageGen.jpeg" width="400" /></a></div><div style="text-align: justify;"><br />
</div><div style="text-align: justify;">Kutokana na Hoja hizi wadau mbalimbali wa afya wameanza kupigia kampeni kuondolewa kwa muongozo wa WHO na kuangalia uwezekano wa kutafiti njia mbadala ikiwemo kutumia dawa za ARV katika mipango ya kuzuia maambukizi badala ya kutumika kama tiba peke yake.</div><div style="text-align: justify;"><br />
</div><b><div style="text-align: justify;"><b>Maneno ya Hisia tu</b>, “Some epidemiological evidence suggests that HIV-infected patients remain healthier when they begin treatment at higher CD4 counts. <span style="color: red;">However, there are also concerns about the health complications and side effects associated with lifelong antiretroviral use and the possibility that the virus may become resistant to medication</span>,” Anthony S. Fauci, M.D. Mkurugenzi, Taasisi ya Utafiti wa Magonjwa ya kuambukiza, Marekani </div></b><br />
Tembelea www.niaid.nih.gov/topics/HIVAIDS kujua tafiti zinazohusu HIV/AIDS.Dotto Athumanhttp://www.blogger.com/profile/06214303366392650866noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-5358200422298739610.post-47954146106655280282012-01-20T17:12:00.002+03:002012-01-20T17:21:30.207+03:00Tuache siasa Daktari Mmoja akigoma ujue kuna wagonjwa zaidi ya 20,000 hatarini: Madaktari na Walimu lazima wasikilizwe!!<div style="text-align: justify;">Kwa muda mrefu Madaktari na walimu wamejikuta wakivaana na Serikali kwa kile wanachoamini UJIRA mdogo usioendana na uzito wa taaluma yao na hali duni ya maisha. Hili limepelekea kuzuka kwa migogoro ya mara kwa mara, na hatimaye MIGOMO ambayo huathiri walalahoi. Lakini swali muhimu ambalo kila Mtanzania anapaswa kujiuliza ni kwamba, "Serikali inatambua Athari za kuweka Umwamba wa Kisiasa katika hali kama hizi?"</div><div><br />
</div><div style="text-align: justify;">Hivi Karibuni Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Lucy Nkya aliingia mitini baada ya <span style="color: red;"><b>kuombwa</b></span> na chama cha madaktari kuhudhuria mkutano ili kujadili changamoto wanazozipata na msimamo wa serikali katika kutoa ufumbuzi. Mama huyu bila aibu aliamua "kuuchuna" pamoja na kutoa ahadi ya kuhudhuria baada ya saa moja. Labda tuendelee kujiuliza, anatoa wapi jeuri ya kugomea wito unaoendana na kazi aliyopewa?</div><div><br />
</div><div style="text-align: justify;">Tuanze hapa: 1. Wanatibiwa wapi? Tumezoea kusikia vigogo wengi ndani ya serikali wakipeperuka na kwenda kutibiwa majuu, Rais anashikwa na kikozi anakimbilia Ujerumani kucheck, Katibu Mkuu nae Ufaransa, Mkurugenzi atasogezwa India basi ilimradi waende kutibiwa nje. Na sasa hata wabunge wameingizwa kwenye "system hiyo" kwanini washtushwe na madai ya Madaktari wa Maskini ambao hawaguswi na migomo yao? Takwimu zinaonyesha kuwa katika wagonjwa 10,000 kuna Daktari 0.5... kifupi daktari mmoja anatibia wagonjwa 20,000 hadi 45,000 hii haitoshi kusikiliza madai yao? Lakini kwa vile wao hawapo kwenye orodha hii pengine ndo maana hawaoni sababu ya kuogopa migomo ya wataalamu hawa. Kwa taarifa yako tu, Ikitokea daktari mmoja akagoma basi kuna wagonjwa 20,000 wataseka kama si kupoteza uhai.</div><div><br />
</div><div style="text-align: justify;">Pili: Walimu nao wako kwenye mstari huu huu japo kwa sasa wamepumua, lakini tunakumbana na hali ile ile, watoto wa vigogo hatuwaoni kwenye shule zetu za kata japo tunaishi nao pale magogoni, nilisikia tetesi mtoto mmoja wa mzito wa nchi anasoma pale Upanga shule moja ya kiislam, cha kushangaza nasikia shule ile haifundishi somo la historia. Sasa huyu bila shaka atakuja kuingia kwenye siasa na kumrithi mzee wake. Sipati picha mkuu wa nchi au waziri asiyejua historia ya nchi yake, loo..pishilia mbali, itakuwa balaa mara dufu. Hii ndo sababu kubwa inaowapa jeuri viongozi wetu kupuuzia masuala ya msingi ya wataalamu wetu. Haingii akilini Taaluma kama ya udaktari, mtu anatumia nusu ya maisha yake kusoma na kusoma afu anakuja kulipwa mshahara ambao hata Kondakta wa daladala anamshinda. Ndio sijatia chumvi, Kondakta kwa siku anajilipa kati ya 15,000 hadi 20,000 kwa hesababu za haraka kwa mwezi anakamata kama laki sita "untaxed cash". </div><div style="text-align: justify;"><br />
</div><div style="text-align: justify;">Ukiniuliza mimi, ntakwambia hivi, "Wanajua umuhimu wenu ila wamechagua kuwapuuzia kwa kuwa wao wataenda US ambako madaktari wa kumwaga, nyie mtaendelea kutuulia ndugu zetu kwa kuwa mko wachache na mnatumia muda mwingi kusaka tonge." Hatuwalaumu ila tunajua cha kufanya 2015.</div><div><br />
</div><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEih5OdsbclghuqFwMtssf5JpjBinW9PH32Kk5QOzyEPYqrXJqFcyVcZxj66ftVM72zrSW46QiukKjkUaLaaMfhT3uj1Ht5soE4IC35Ff3poN9_FFU7DERt_U1ba2ek-j2uUZ3i53Xyheggt/s1600/wagonjwa.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="213" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEih5OdsbclghuqFwMtssf5JpjBinW9PH32Kk5QOzyEPYqrXJqFcyVcZxj66ftVM72zrSW46QiukKjkUaLaaMfhT3uj1Ht5soE4IC35Ff3poN9_FFU7DERt_U1ba2ek-j2uUZ3i53Xyheggt/s320/wagonjwa.jpg" width="320" /></a></div><div style="text-align: justify;"><span style="color: red;"><b>"In the U.S., if you fell ill and you're taken to hospital, you are going to meet a doctor. In my country, that's a luxury. A lot of people have gone to their graves without meeting a doctor." Dr. David Mwakyusa, former Minister of Health, Tanzania</b></span></div>Dotto Athumanhttp://www.blogger.com/profile/06214303366392650866noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-5358200422298739610.post-16218015184883293042012-01-14T15:53:00.002+03:002012-01-14T23:19:32.483+03:00Newsflash: Hon. Regia Mtema, a special seat Member of Parliament from Kilombero representing CHADEMA political party has died in car accident around Ruvu bridge in Coast region!!<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi7AySlrl8Gr3qKYXyyllfd7AqUo-xcO8OLDBJ-W3OHeX7mITdIAy9L5szV2WrOgf9_gFavXOeUdBZtp2kfBv897vN83hi0VfVnb_fUOIwZG3EjIugtJurmPgGKwEoas413DqZupU0dag3o/s1600/mtei.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="288" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi7AySlrl8Gr3qKYXyyllfd7AqUo-xcO8OLDBJ-W3OHeX7mITdIAy9L5szV2WrOgf9_gFavXOeUdBZtp2kfBv897vN83hi0VfVnb_fUOIwZG3EjIugtJurmPgGKwEoas413DqZupU0dag3o/s400/mtei.jpg" width="400" /></a></div><br />
<span style="text-align: justify;">Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kinasikitika kutangaza kifo cha mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama Taifa, Mheshimiwa Regia Mtema (pichani) ambaye pia ni Mbunge wa Viti Maalum na Waziri Kivuli wa Kazi na Ajira. </span><br />
<div><br />
</div><div style="text-align: justify;">Mheshimiwa Regia Mtema amefariki leo tarehe 14 Januari 2011 kwa ajali ya gari katika eneo la Ruvu darajani. <br />
<div style="text-align: justify;"><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"></div><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"></div></div></div><div><br />
</div><div style="text-align: justify;">Katika uhai wake marehemu Regia Mtema amefanya kazi mbalimbali za kisiasa na kijamii katika taifa. Marehemu Regia Mtema amezaliwa tarehe 21 mwezi Aprili mwaka 1980 na kusoma shule za sekondari kidato cha kwanza mpaka cha sita katika shule ya sekondari ya Forodhani na Shule ya Wasichana ya <span style="text-align: justify;">Sekondari ya Machame. Marehemu Regia Mtema alipata shahada yake ya kwanza </span><span style="text-align: justify;">(Bsc Home Economics and Human Nutrition) katika Chuo Kikuu cha Kilimo cha </span><span style="text-align: justify;">Sokoine.</span></div><br />
<div style="text-align: justify;">Mara baada ya kuhitimu masomo yake marehemu Regia Mtema alifanya kazi katika taasisi mbalimbali kabla ya kujiunga na CHADEMA na kuteuliwa kuwa Afisa Mwandamizi katika Kurugenzi ya Vijana ya CHADEMA na baadaye kuteuliwa kuwa Afisa Mwandamizi katika Kurugenzi ya Mafunzo ya CHADEMA nafasi ambayo aliishikilia hadi mwaka 2010 alipoteuliwa kuwa mbunge wa viti maalum</div><div><br />
</div><div style="text-align: justify;">CHADEMA inatoa pole kwa familia ya marehemu Regia Mtema, wanachama wote na wananchi wa Mkoa wa Morogoro hususani wa Jimbo la Kilombero kutokana na msiba huu wa ghafla katika wakati ambapo mchango wake ukihitajika kwa chama na kwa taifa.</div><div><br />
</div><div>Imetolewa na,</div><div><br />
</div>John Mnyika(Mb)<br />
Mkurugenzi wa Habari na Uenezi<br />
ChademaDotto Athumanhttp://www.blogger.com/profile/06214303366392650866noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-5358200422298739610.post-61339462567798479082012-01-14T14:50:00.000+03:002012-01-14T14:50:56.397+03:00Afrika itabadilika kama siasa zitamilikiwa na wapiga kura!!<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh-Cnk74Nv-hSeaiB1J-LsnULHTYheFdx6dADHUzo30mfh30Hjecl26DS_fn1FnZBYoNIvO8j7gKPHSmu4pdIzx-jH24wkCGpa5LpdfepRsx8CnhjKY3rzviHLmOTE8ywlti1V6KoG1JkcV/s1600/libya.jpg" imageanchor="1" style="clear: left; float: left; margin-bottom: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="320" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh-Cnk74Nv-hSeaiB1J-LsnULHTYheFdx6dADHUzo30mfh30Hjecl26DS_fn1FnZBYoNIvO8j7gKPHSmu4pdIzx-jH24wkCGpa5LpdfepRsx8CnhjKY3rzviHLmOTE8ywlti1V6KoG1JkcV/s320/libya.jpg" width="216" /></a></div><div style="text-align: justify;">"Mnaweza kuiita vyovyote, waswahili husema, 'mnyonge mnyongeni....' hili ni Vuguvugu la Mnyonge." Ilianzia Tunisia, Misri na sasa swali limebaki kuwa je itaishia Libya au kuna panapofuka moshi?</div><br />
<div style="text-align: justify;">Ni swali rahisi sana, na bila shaka jibu liko wazi kwa zaidi ya asilimia 80. Binafsi nasema Moshi bado wafuka tena kwa kasi ya ajabu, hakuna aliye salama na atakae salimika kama hali itaendelea kubaki hivi ilivyo.</div><br />
<div style="text-align: justify;">Ni takribia miongo sita toka nchi ya kwanza kusini mwa Jangwa la Sahara, Afrika kupata Uhuru. Hadi sasa hakuna hata nchi mmoja kutoka ukanda huo inaweza kusimama kifua mbele na kukiri kuwa imepiga hatua kimaendeleo. Umaskini uliokithiri, Rushwa, magonjwa na vita ndio sura inayotawala ramani ya bara la Afrika.</div><div style="text-align: justify;"><br />
</div><div style="text-align: justify;">Wanasiasa wameshindwa kuja na mbinu mpya ya kukabiliana na changamoto hizi. Afrika inatajwa kuongoza kwa utitiri wa vyama vya siasa duniani. Hii peke yake inatosha kutambulisha tabia mbaya ya viongozi wetu - UCHU wa Madaraka. Siasa sasa ni mtaji wa kujitajirisha na kila anaewaza kugombea, nyuma ya pazia analake jambo. Hii imenifanya nikumbuke lile soga la wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kujiongezea masurufu kwa madai maisha yamepanda. Kituko kilikuwa ni pale waziri mmoja alipoongeza nauli ya kivuko wabunge hao hao walikuja juu kama moto wa kifuu, tena kwa maneno ya kejeli ama kweli "Nyani haioni Kundule"</div><div style="text-align: justify;"><br />
</div><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhbOtP0JmR1RaeMPd_hr2vCG3BbxDhCqFHLJWi9LyRBw28O9QBl0j6LeHV42xnOFs8CoKtN0dFKIWxuyzEhnV3TRvwOB7XXhomU1TlNzL95IuXsc-V_wL6DIiYnESxbDB9y0P675ODTSifK/s1600/02kenya-600.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="176" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhbOtP0JmR1RaeMPd_hr2vCG3BbxDhCqFHLJWi9LyRBw28O9QBl0j6LeHV42xnOFs8CoKtN0dFKIWxuyzEhnV3TRvwOB7XXhomU1TlNzL95IuXsc-V_wL6DIiYnESxbDB9y0P675ODTSifK/s320/02kenya-600.jpg" width="320" /></a></div><div style="text-align: justify;">Huhitaji kuambiwa, "Ukiona chama au mwanasiasa anapuuzia kero za wapiga kura wake ujue HUYO/HAO hawa hitaji kura hizo kuingia madarakani, WANAZO MBINU ZINGINE ZA KUJICHAGUA AU KUCHAGULIWA, na huo ndio moshi unaofuka."</div>Dotto Athumanhttp://www.blogger.com/profile/06214303366392650866noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-5358200422298739610.post-68034523501224101272011-12-31T20:44:00.000+03:002011-12-31T20:44:10.267+03:00Wabongo ni wagumu kufuata sheria mpaka wasimamiwe na Askari!!<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="http://4.bp.blogspot.com/-ogMZmKpAaIM/Tv9HuVRg7kI/AAAAAAAAAK0/c_EqRHfPphM/s1600/Punda+milia.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="233" src="http://4.bp.blogspot.com/-ogMZmKpAaIM/Tv9HuVRg7kI/AAAAAAAAAK0/c_EqRHfPphM/s320/Punda+milia.JPG" width="320" /></a></div>Hapa akipita kwenye Zebra pamoja na sheria kumtaka asimame ikiwa waenda kwa miguu watafikia watatu. Na hapo chini akipita kwenye Taa nyekundu<br />
<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="http://1.bp.blogspot.com/-SUDBiqZw1Fs/Tv9IHXeN8aI/AAAAAAAAALA/bigXwiltMqU/s1600/taa+nyekundu.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="217" src="http://1.bp.blogspot.com/-SUDBiqZw1Fs/Tv9IHXeN8aI/AAAAAAAAALA/bigXwiltMqU/s320/taa+nyekundu.JPG" width="320" /></a></div><div style="text-align: justify;">Mimi na wenzangu tuliwekeana ubishi kuwa Gari iliyombele yetu haitafuata sheria labda pawe na Askari wa Usalama wa Barabarani, tukaanza kuifuatlia kutoka Salander Bridge hadi Moroco. Lahaula yule bwana hakusimama kwenye zebra wala taa nyekundu. Hii ndo Bongo sheria itafuata kama yupo wa kusimamia.</div>Dotto Athumanhttp://www.blogger.com/profile/06214303366392650866noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-5358200422298739610.post-53021712094170192462011-12-31T20:27:00.000+03:002011-12-31T20:27:01.125+03:00What about women, are they covered as well?!<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="http://1.bp.blogspot.com/-FQ-an92_4F4/Tv9EXZheGhI/AAAAAAAAAKo/YZlFYTSM4YI/s1600/airtel.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="316" src="http://1.bp.blogspot.com/-FQ-an92_4F4/Tv9EXZheGhI/AAAAAAAAAKo/YZlFYTSM4YI/s400/airtel.JPG" width="400" /></a></div><div style="text-align: justify;">Tangazo hili la kampuni moja ya simu lililopo maeneo ya Kinondoni Moroco limenigusa, nikajiuliza kama wahusika walifikiria kabla ya kuja na wazo la tangazo la namna hii.</div>Dotto Athumanhttp://www.blogger.com/profile/06214303366392650866noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-5358200422298739610.post-58231313710182686182011-12-31T18:54:00.000+03:002011-12-31T18:54:07.908+03:00Trial results confirm HIV treatment can prevent transmission of HIV between HIV positive and negative couples!!<div style="text-align: justify;">People living with HIV can now, with dignity and confidence, take additional steps to protect their loved ones from HIV.</div><div style="text-align: justify;"><br />
</div><div style="text-align: justify;"><a href="http://1.bp.blogspot.com/-GTEpMuvTWJI/Tv8tvpzAJYI/AAAAAAAAAKc/D8g1Qg7hCrc/s1600/Tanzania-HIV.JPG" imageanchor="1" style="clear: left; float: left; margin-bottom: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="320" src="http://1.bp.blogspot.com/-GTEpMuvTWJI/Tv8tvpzAJYI/AAAAAAAAAKc/D8g1Qg7hCrc/s320/Tanzania-HIV.JPG" width="220" /></a>The news from the HPTN 052 trial showed Antiretroviral therapy to be 96% effective in reducing HIV transmission in couples where one partner has HIV. The trial, conducted by the HIV Prevention Trials Network, enrolled more than 1 700 sero-discordant couples (<span style="color: #38761d;"><b>one partner who is HIV-positive and one who is HIV-negative</b></span>) from Africa, Asia, the United States and Latin America.</div><div style="text-align: justify;"><br />
</div><div style="text-align: justify;">“This breakthrough is a serious game changer and will drive the prevention revolution forward. It makes HIV treatment a new priority prevention option,” said Michel Sidibé, Executive Director of the Joint United Nations Programme on HIV/AIDS (UNAIDS).</div><div style="text-align: justify;"><br />
</div><div style="text-align: justify;">Only people living with HIV with a CD4 cell count of between 350 and 550, thus not yet eligible for treatment for their own health according to latest WHO guidelines, were enrolled in the study. The reduction of sexual transmission of HIV was so significant that the trial was stopped 3-4 years ahead of schedule. (source: WHO)</div>Dotto Athumanhttp://www.blogger.com/profile/06214303366392650866noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-5358200422298739610.post-59823401402809394632011-12-30T11:07:00.001+03:002011-12-30T11:09:52.116+03:00Mwandishi wa Habari na Mtangazaji wa siku nyingi, John Ngahyoma ametutoka duniani leo asubuhi akiwa Hospitalini<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjmy2-hslOXyVRV-XeuI8NI0xJ-aG2FwItc2CA2I627iYI28n8inC5eiL2JN7np65kB6K4R1kzNk44HBWkevObjgk3JH5XuibagMXsDDlODO2PKlsYw3HeATVY3VpsN6qDxXwIoIzRXTndb/s1600/Ngahyoma.jpeg" imageanchor="1" style="margin-left:1em; margin-right:1em"><img border="0" height="320" width="213" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjmy2-hslOXyVRV-XeuI8NI0xJ-aG2FwItc2CA2I627iYI28n8inC5eiL2JN7np65kB6K4R1kzNk44HBWkevObjgk3JH5XuibagMXsDDlODO2PKlsYw3HeATVY3VpsN6qDxXwIoIzRXTndb/s320/Ngahyoma.jpeg" /></a></div><br />
Tumepokea taarifa za kusikitisha kuwa Mwandishi na mtangazaji wa siku nyingi, John Ngahyoma ameaga dunia leo asubuhi. Kabla ya kufikwa na umauti, Ngahyoma alikuwa akifanyia kazi idhaa ya kiswahili BBC. Marehemu atakumbukwa kwa mchango wake kwenye tasnia ya habari. MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALI PEMA PEPA PEPONI..AMEENDotto Athumanhttp://www.blogger.com/profile/06214303366392650866noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-5358200422298739610.post-2095738601585652662011-12-29T18:14:00.000+03:002011-12-29T18:14:33.888+03:00Katiba Butu ndo iliyomlisha sumu Mhe. Kafulila,<div style="color: black; text-align: justify;"><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="http://2.bp.blogspot.com/-PgdHpiuXcvw/TvyDggpTHYI/AAAAAAAAAKE/Kf0BBT5Z0-I/s1600/kafulila.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="360" src="http://2.bp.blogspot.com/-PgdHpiuXcvw/TvyDggpTHYI/AAAAAAAAAKE/Kf0BBT5Z0-I/s400/kafulila.jpg" width="400" /></a></div><span style="font-size: medium;"><span style="font-family: courier new;">“Nawaambia kwa amri hii Kafulila amekula sumu, ilikuwa halmashauri ikutane na kurejea tena uamuzi wetu dhidi yake na wenzake, lakini kwa amri hii ya Mahakama haiwezi kukutana na sasa tumefungwa mikono, na tunaendelea na uamuzi wetu wa kumsimamisha hatutachukua uamuzi mwingine hadi kesi ya msingi iishe,” Haya ni maneno ya mwanasheria na Mkuu wa Idara ya Katiba na Sheria, NCCR-Mageuzi, Dk Sengondo Mvungi alipokuwa akitolea ufafanuzi juu ya sakata la kufukuzwa uanachama Mbunge Kijana, David Kafulila na wenzie.</span></span></div><div style="color: black;"><br />
</div><div style="color: black; text-align: justify;"><span style="font-size: medium;"><span style="font-family: courier new;">David Kafulila ambaye ni Mbunge wa Kigoma Kusini, hivi karibuni alivuliwa uanachama na chama hicho na kupoteza sifa ya kuendelea na kiti chake cha Ubunge kwa mujibu ya katiba (<b style="color: red;">Diwani, Mbunge au Rais atakoma nafasi hiyo endapo atavuliwa uanachama wa chama anachokiwalisha!!!</b>). Hata hivyo kafulila alichukua hatua ya kupinga uamuzi huo Mahakamani na hatimaye kurejeshewa nafasi yake hadi kesi ya msingi itapofikia mwisho. </span></span></div>Dotto Athumanhttp://www.blogger.com/profile/06214303366392650866noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-5358200422298739610.post-13761691711505948792011-12-29T17:35:00.002+03:002011-12-29T18:19:38.330+03:00Kwa wasanii wetu mnaolalamika kuibiwa kazi zenu, someni hii!!<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="http://2.bp.blogspot.com/-c-XrUFsKwVk/Tvx1AFBbD8I/AAAAAAAAAJs/47wxULpNJ8I/s1600/Fast-Five-Film.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="225" src="http://2.bp.blogspot.com/-c-XrUFsKwVk/Tvx1AFBbD8I/AAAAAAAAAJs/47wxULpNJ8I/s400/Fast-Five-Film.jpg" width="400" /></a></div><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"></div><div style="text-align: justify;">Filmu iliyopata kushika katika tasnia filamu za Action "Fast five" imetajwa na mtandao wa Torrent Freak kuwa ni miongoni mwa filamu zilizoongoza kwa kuibwa kupitia njia mtandao kwa mwaka 2011. Mtandao huo unaonyesha kuwa filamu hiyo ilinyonywa kutoka kwenye mtandao wake na watumiaji milioni 9.2, ikifuatiwa na The Hangover II kwa watumiaji milioni 8.8 na filamu zingine ikiwemo Thor ( 8.3mil)), thriller Source Code ( 7.9mil) na I Am Number Four (7.6mil).</div><div style="text-align: justify;"><br />
</div><div style="text-align: justify;">Mitandao mbalimbali imekuwa ikitumiwa kupitisha filamu kinyume cha sheria (Pirates) ikiwa ni kampeni za wanaharakati katika nchi zilizoendelea kusaidia wasio na uwezo kupata filamu hizo bila kulipia. Mitandao hiyo imewezesha watumiaji wa mtandao kunyonya filamu mbalimbali bila makubaliano na wamiliki au wasanii husika na hivyo kushusha mauzo. Nchini Tanzania wizi wa kazi za filamu hutumiwa zaidi kwa njia ya kunyonya ama kutoa nakala za CD/DVD kinyemela pamoja na watumiaji kuazimana. <b><span style="color: #274e13;">Hata hivyo Wataalamu katika masuala ya mitandao na utayarishaji wa filamu wanashauri mtindo mpya wa kutayarishaji movie kwa kutumia teknolojia ya 3D ambayo si rahisi kunyonywa kwenye mitandao na huhitaji kifaa maalum cha miwani kutazama filamu za aina hiyo.</span></b></div>Dotto Athumanhttp://www.blogger.com/profile/06214303366392650866noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-5358200422298739610.post-66601369284524539022011-12-27T14:36:00.001+03:002011-12-27T14:37:15.243+03:00Kwanini Daraja lililopo karibu na kambi ya JKT Mikocheni halikuyumba wakati wa mafuriko..?!<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="http://4.bp.blogspot.com/-E1_vfV9wSiA/TvmpzoypYlI/AAAAAAAAAGg/FxkYA_fddGM/s1600/mikocheni.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="240" src="http://4.bp.blogspot.com/-E1_vfV9wSiA/TvmpzoypYlI/AAAAAAAAAGg/FxkYA_fddGM/s320/mikocheni.JPG" width="320" /></a></div><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="http://2.bp.blogspot.com/-OQJZgJ-h5Ac/TvmqC8szgLI/AAAAAAAAAGs/htziJEeYpto/s1600/Mtaro.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="300" src="http://2.bp.blogspot.com/-OQJZgJ-h5Ac/TvmqC8szgLI/AAAAAAAAAGs/htziJEeYpto/s400/Mtaro.JPG" width="400" /></a></div><div style="text-align: justify;">Moja ya athari kubwa zilizoletwa na mvua kubwa iliyonyesha katika ukanda wa Pwani ikiwemo Jiji la Dar es salaam ni uharibifu wa miundo mbinu ya Barabara hasa sehemu zilizounganisha barabara na madaraja. Maeneo ya Kawe kuelekea Mbezi Beach na Tegeta yalijikuta yakikosa huduma muhimu ya usafiri baada ya Barabara zake mbili kufungwa kutokana na kubomoka kwa madaraja yanaunganisha maeneo hayo (kawe Bondeni na Rain Bow - njia ya chini). Hata hivyo Daraja la muda lililojengwa na Jeshi la Kujenga Taifa eneo la Mikocheni halikuathiriwa kabisa jambo lilinifanya nichunguze kulikoni.</div><br />
<div style="text-align: justify;">Ugunduzi: Sababu moja kubwa niliyogundua ni muundo mzuri wa kupitisha maji (mitaro). Ukiangalia picha hapo juu utagundua kuwa madaraja mengi yaliyoathiriwa ama kubomolewa hayana njia nzuri za kupitisha maji kuelekea Baharini au pengine kusahaulika kwa njia za mito (<span style="color: red;"><b>njia nyingi zilikuwa zimegeuzwa dampo</b></span>) na kufanya maji kutafuta njia mbadala. Tishio la mvua nyingine kubwa limetangazwa na Mamlaka ya Hali ya Hewa na changamoto iko pale pale. Tujiandae kwa Mafuriko wandugu.</div>Dotto Athumanhttp://www.blogger.com/profile/06214303366392650866noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-5358200422298739610.post-82842545532870122152011-12-27T11:57:00.001+03:002011-12-28T00:05:10.448+03:00Ni ajabu sana kwa uongozi wa Mlimani city kutoruhusu kupiga picha eneo hilo..!!<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="http://1.bp.blogspot.com/-JlkizxabYLI/TvmGY2We_fI/AAAAAAAAAGI/7NfcsYYZgKE/s1600/mlimani.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="195" src="http://1.bp.blogspot.com/-JlkizxabYLI/TvmGY2We_fI/AAAAAAAAAGI/7NfcsYYZgKE/s320/mlimani.jpg" width="320" /></a></div><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="http://1.bp.blogspot.com/-eBzN8lpXFXQ/TvmGg7DhLQI/AAAAAAAAAGU/R0N59Fz2RxE/s1600/Mlimani+city.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="300" src="http://1.bp.blogspot.com/-eBzN8lpXFXQ/TvmGg7DhLQI/AAAAAAAAAGU/R0N59Fz2RxE/s400/Mlimani+city.JPG" width="400" /></a></div><div style="text-align: justify;">Kwa kujiiba sana nililazimika kupiga picha eneo la Mlimani city baada ya kugundua kuwa si ruhusa kufanya zoezi hilo. Kwangu ilikuwa ni jambo la kushangaza sana kwa eneo la kibiashara kutoruhusu picha, wasiwasi wangu ulizidi baada ya kuhoji walinzi kulikoni picha haziruhusiwi ilhali eneo hili ni si sehemu ya kuhifadhi NYARA muhimu kwa uslama wa nchi au wahusika, jibu lilikuwa "Wao wamepewa maelekezo tu wala hawajui ni kwanini zaidi ya hapo". LAKINI JAMBO KUBWA KWANGU SIJAWAHI KUSIKIA DUNIANI KOKOTE ETI SHOPPING MALL HAKUPIGWI PICHA....Wahusika mpo?!</div>Dotto Athumanhttp://www.blogger.com/profile/06214303366392650866noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-5358200422298739610.post-54748983005453600962011-12-27T11:26:00.000+03:002011-12-27T11:26:59.830+03:00Warning on another heavy heavy rainfall on Coastal zone...!<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="http://3.bp.blogspot.com/-8Zbz6xbELpI/Tvl9k6XODbI/AAAAAAAAAFw/JdG0xUq2DsU/s1600/Agnes-Kijazi.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="213" src="http://3.bp.blogspot.com/-8Zbz6xbELpI/Tvl9k6XODbI/AAAAAAAAAFw/JdG0xUq2DsU/s320/Agnes-Kijazi.jpg" width="320" /></a></div><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="http://1.bp.blogspot.com/-buy9ayTGr0E/Tvl-UbUu3EI/AAAAAAAAAF8/cA0Kw2ntQgs/s1600/TMA.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="300" src="http://1.bp.blogspot.com/-buy9ayTGr0E/Tvl-UbUu3EI/AAAAAAAAAF8/cA0Kw2ntQgs/s400/TMA.JPG" width="400" /></a></div><br />
<div style="background-color: white; font-family: Georgia, sans-serif; font-size: 14px; line-height: 24px; margin-bottom: 16px; padding-bottom: 0px; padding-left: 0px; padding-right: 0px; padding-top: 0px; text-align: justify;">The <a href="http://in2eastafrica.net/category/general-info/tanzania/" style="color: #045f9f; margin-bottom: 0px; margin-left: 0px; margin-right: 0px; margin-top: 0px; padding-bottom: 0px; padding-left: 0px; padding-right: 0px; padding-top: 0px; text-decoration: none;" target="_blank" title="Tanzania">Tanzania</a> Meteorological Agency (TMA) has warned of another possible heavy rainfall from Dec 28 throughout New Year counting down. the forecast is said to affect areas around coast zone including Dar es salaam, Pwani, Mtwara, Lindi and Unguja Island.</div><div style="background-color: white; margin-bottom: 16px; padding-bottom: 0px; padding-left: 0px; padding-right: 0px; padding-top: 0px; text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia, sans-serif;"><span style="font-size: 14px; line-height: 24px;">On press released issued to different media outlet, TMA Acting Director General, Dr Agnes Kijazi, advised responsible authorities to observe necessary precaution and be prepared for another possible flash floods. Dar was hard hit by floods in the past few days and 23 people announced dead while hundreds left homeless and damaged infrastructure followed by heavy rainfall.</span></span></div>Dotto Athumanhttp://www.blogger.com/profile/06214303366392650866noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-5358200422298739610.post-44013054007985694552011-12-27T07:12:00.003+03:002011-12-27T07:26:24.097+03:00The Divas of Hulliwud...in Beach photo Out!<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="http://3.bp.blogspot.com/-zDE4gogchJQ/TvlEHLOZ6nI/AAAAAAAAAFY/CnfF1xuN5QE/s1600/divas.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="240" src="http://3.bp.blogspot.com/-zDE4gogchJQ/TvlEHLOZ6nI/AAAAAAAAAFY/CnfF1xuN5QE/s320/divas.jpg" width="320" /></a></div><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="http://2.bp.blogspot.com/-P21ZfWECNns/TvlFNsdL9cI/AAAAAAAAAFk/pHwqqcJ4Oac/s1600/divas2.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="300" src="http://2.bp.blogspot.com/-P21ZfWECNns/TvlFNsdL9cI/AAAAAAAAAFk/pHwqqcJ4Oac/s400/divas2.jpg" width="400" /></a></div><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">Miss Bangulosy (kushoto), Divayo (katikati) na Jamilayo wakiwa katika muondoko wa fukweni (Beach Side walk). Kwa wanaohitaji totoz hizo katika modelling tuwasiliane.</div>Dotto Athumanhttp://www.blogger.com/profile/06214303366392650866noreply@blogger.com1tag:blogger.com,1999:blog-5358200422298739610.post-29757321888733220572011-12-22T12:57:00.002+03:002011-12-22T14:44:46.046+03:00Social Media outstripped mainstreaming media in Tanzania<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="http://1.bp.blogspot.com/-EvuHoyKeT1M/TvL7WdePdOI/AAAAAAAAAFA/EAyjGcM6QzY/s1600/social.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="240" src="http://1.bp.blogspot.com/-EvuHoyKeT1M/TvL7WdePdOI/AAAAAAAAAFA/EAyjGcM6QzY/s320/social.JPG" width="320" /></a></div><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="http://4.bp.blogspot.com/-RZwq2RxeF18/TvL8dCUUmsI/AAAAAAAAAFM/btwO80gd4WE/s1600/media.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="229" src="http://4.bp.blogspot.com/-RZwq2RxeF18/TvL8dCUUmsI/AAAAAAAAAFM/btwO80gd4WE/s320/media.jpg" width="320" /></a></div>Katika kile tunachoweza kukieleza kuwa dunia ya utandawazi tumeshuhudia "social Media" zikivipiku kwa kiwango cha juu Mainstreaming media au vyombo vya habari katika kutoa taarifa ya majanga mbalimbali ikiwemo hili la sasa (mafuriko jijini Dar) na lile la kuzama kwa Boti ya MV islanders kule visiwa vya Nungwi. Hadi kufika sasa kundi kubwa la watu zikiwemo media zenyewe wamekuwa wakitegemea taarifa kutoka kwenye mitandao mbalimbali huku Facebook na twitter zikiongoza kwa karibu mjadala wa janga hilo. Hii ni adhari kwa waandishi na wadau wa sekta ya habari na wawe tayari kwa mabadiliko makubwa zaidi. Hadi kufikia sasa Tanzinia inakadiria kuwa na watumia zaidi ya laki nne (400,000) katika mtandao wa facebook na nusu yao wakiwa na akaunti katika twitter.Dotto Athumanhttp://www.blogger.com/profile/06214303366392650866noreply@blogger.com0Dar es Salaam, Tanzania-6.822921 39.269661000000042-7.0036885 39.030196500000045 -6.6421535 39.509125500000039tag:blogger.com,1999:blog-5358200422298739610.post-36902998283674512032011-12-22T10:05:00.005+03:002011-12-22T15:14:42.649+03:00Floods left Dar es salaam dwellers in heavy panic as commercial activities force to shut down and movement proved failure in many part of the city<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="http://3.bp.blogspot.com/-xmoJkdvZt4U/TvLV__n1shI/AAAAAAAAAEk/IM-lV5sIHJ0/s1600/Lapa.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="240" src="http://3.bp.blogspot.com/-xmoJkdvZt4U/TvLV__n1shI/AAAAAAAAAEk/IM-lV5sIHJ0/s320/Lapa.JPG" width="320" /></a></div><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="http://1.bp.blogspot.com/-p-APkjnvjoU/TvLVWceB7KI/AAAAAAAAAEY/RofwM9NxQRE/s1600/tete.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="300" src="http://1.bp.blogspot.com/-p-APkjnvjoU/TvLVWceB7KI/AAAAAAAAAEY/RofwM9NxQRE/s400/tete.JPG" width="400" /></a></div>Wakazi wa Jiji la Dar es salaam wamelazimika kuchapa lapa baada ya mvua kubwa kuharibu miundo mbinu na kupelekea barabara muhimu kufungwa kutokana na madaraja kuharibika au kumong'onyoka na kuhatarisha usalama wa watumiaji. (Picha na Dotto Athumani)Dotto Athumanhttp://www.blogger.com/profile/06214303366392650866noreply@blogger.com1Kawe, Dar es Salaam, Tanzania-6.7333330000000009 39.216667000000029-6.7595525000000007 39.185825500000028 -6.7071135000000011 39.247508500000031tag:blogger.com,1999:blog-5358200422298739610.post-36279050352216072782011-12-22T09:48:00.003+03:002011-12-22T15:08:14.909+03:00Kawe Road Bridge closed down as heavy floods took away some part of the connected road bridge.<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="http://2.bp.blogspot.com/-xjlw9i_-gl0/TvLTfx1dJaI/AAAAAAAAAEM/pyxGHalLI6E/s1600/Kumeguka.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="300" src="http://2.bp.blogspot.com/-xjlw9i_-gl0/TvLTfx1dJaI/AAAAAAAAAEM/pyxGHalLI6E/s400/Kumeguka.JPG" width="400" /></a></div><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="http://3.bp.blogspot.com/-0VYHuKqVwzw/TvLR6umh9zI/AAAAAAAAAEA/m0Q-7Ic8H9k/s1600/kawe.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="http://3.bp.blogspot.com/-0VYHuKqVwzw/TvLR6umh9zI/AAAAAAAAAEA/m0Q-7Ic8H9k/s1600/kawe.JPG" /></a></div>Barabara kuelekea Mwenge kupitia Lugalo, Bondeni hadi Mbezi Beach imefungwa Kutokana na kumeguka karibia nusu ya eneo la Barabara hiyo na kutishia kubomoka kabisa kwa Daraja linalotenganisha upande wa Lugalo na Mbezi tangi bovu.Dotto Athumanhttp://www.blogger.com/profile/06214303366392650866noreply@blogger.com0